Uongozi ya kazi ndani ya CITBA

Chumba cha  kazi ya CITBA inaongozwa ivi  :

  1. L’Assemblée Générale Interconfessionnelle : Ina kazi ya kuleta maoni na kukamata atua kubwa kubwa,inakutanika mara tatu kwa mwaka. Kama kuko itaji ya haraka muongonzi wa Conseil d’Administration ana ruhusa ya kuitisha mukutano. 

 

  1. Le Conseil d’Administration :  Ina kazi ya kofatilia kwa makimi atua yote ilio kamatwa ndani ya  Assemblée Générale.

 

  1. Le Secrétariat Exécutif Permanent : T Ina ya kutimisa na kufatilia mipango mbalimbali ya uwongozi , na kupatanisha makanisa na wangeni ambao wana unga mukono kwa kazi ndani ya CITBA pia ku usika na mambo ya watenda kazi na kutafuta njia mbalimbali ya kupata pesa.

 

  1. Le Comité de Gestion des langues : Ina kazi ya ambia watu wa ruga maendeleo ya kazi pia namna wana weza kusaidia kazi ya kugeuza Bibilia kwa luga. 

 

  1. Bureaux des Projets : Ina Kazi ya kuunda mipangilio ya kazi ya kugeuza na kusoma Bibilia kwa luga pia kutosha sehemu ya vitabu kwa wasomaji wa luga.
Share

Your encouragement is valuable to us

Your stories help make websites like this possible.